IQNA-Duru ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani ya wanawake yamemalizika Dubai Ijumaa usiku.
Habari ID: 3470687 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/20
IQNA-Gazeti moja la Misri limemtaja Binti Muirani mwenye umri wa miaka tisa kuwa ‘kompyuta’ kutokana na ustadi wake katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470668 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/11
IQNA-Binti Muirani mwenye umri wa miaka 9, Hannaneh Khalfi yuko katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE (Imarati) kushiriki mashindano ya Qur’ani ya wanawake.
Habari ID: 3470650 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/04